Hoja yangu, yaani turekebishe sheria ya makosa mtandao sababu MAREKANI inataka hivyo? au sababu kuna makosa yanayo hitaji marekebisho? Hivi yale matokeo ya uchaguzi wa awali yangetangazwa sababu ni sawa kufanya hivyo kisheria au kwasababu MAREKANI anataka yatangazwe?