Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio kwamba tuikatae aina hii ya misaada, hapana, coz Tz kuna watu wana hali mbaya kuliko maelezo , ila sio waziri aende kuipokea, ni aibu...
sasa akapokee nani?? Unataka aonekane luningani?sio kwamba tuikatae aina hii ya misaada, hapana, coz tz kuna watu wana hali mbaya kuliko maelezo , ila sio waziri aende kuipokea, ni aibu...