Misamiati Mipya ya Kiswahili

Siku zote nimekuwa nikijua kuwa lugha haiundwi na kikundi cha watu kama wafanyavyo Baraza la Kiswahili la Tanzania kutengeneza maneno magumu wanayoyaita Kiswahili.

Lugha huja yenyewe kama tulivyozaliwa tukaikuta, na mababu zetu kabla yetu walivyoikuta.
 
Na hapo wameitungia jina baya eti serikali mahututi ili isitokee hawaitaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…