7 7son Senior Member Joined May 24, 2012 Posts 174 Reaction score 36 Feb 9, 2013 #1 Jamani naomba kama kuna mtu ana nakala ya marekebisho ya ya sheria yaliyopitishwa na bunge letu tukufu jana tarehe 08.02.2013. Najua JF ni Jungu Kuu hivyo sina shaka document itapatikana ukizingatia tuna wabunge wengi humu. Mungu ibariki Tanzania.
Jamani naomba kama kuna mtu ana nakala ya marekebisho ya ya sheria yaliyopitishwa na bunge letu tukufu jana tarehe 08.02.2013. Najua JF ni Jungu Kuu hivyo sina shaka document itapatikana ukizingatia tuna wabunge wengi humu. Mungu ibariki Tanzania.
mayenga JF-Expert Member Joined Sep 6, 2009 Posts 4,118 Reaction score 1,970 Feb 9, 2013 #2 Sheria lazima isainiwe na rais,haiwezi kupatikana kirahisi hivyo,labda upate mswada(mapendekezo)ambayo itakuwa siyo sheria.
Sheria lazima isainiwe na rais,haiwezi kupatikana kirahisi hivyo,labda upate mswada(mapendekezo)ambayo itakuwa siyo sheria.
MSeush Member Joined Apr 24, 2012 Posts 72 Reaction score 13 Feb 9, 2013 #3 Jaribu kuwa na subira muda ukifika wadau wataweka jamvini kila kitu.
7 7son Senior Member Joined May 24, 2012 Posts 174 Reaction score 36 Feb 9, 2013 Thread starter #4 Noted wakuu