Mwinyi_tza
Member
- Oct 9, 2018
- 23
- 5
Habari ya Mchana wana JF, naomba kujuzwa inachukua muda gani tena kwa mwanamke aliyeharibu ujauzito kuanza kutafuta ujauzito mwingine / yaani anatakiwa kukaa muda gani ili ashike tena ujauzito?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa kila uzi umo dah uko vizuri kisenge mkuu..Hedhi ikirudi jaribu uone kama utapata.
Hata wewe uko vizuri kunifuatilia mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa kila uzi umo dah uko vizuri kisenge mkuu..
Hapo sasa kuna tofauti ya kusikia na kusikiliza.Hata wewe uko vizuri kunifuatilia mkuu.
Naam!.Hapo sasa kuna tofauti ya kusikia na kusikiliza.
Asante sana kwa Ushauri / maoni yakomadaktari wanashauri akae angalau miezi 6 ndio ashike mimba nyingine...maana kwa muda huo kizazi kinakuwa kimepona na hata factor iliyosababisha mimba kutoka inaweza kuwa imeisha
Haha haha jamannni hili jibu limenichekesha sana we noma @mbaozamaweHata wewe uko vizuri kunifuatilia mkuu.
Miezi miwili na nusu mkuuimeharibika ikiwa na mda gani?
Fanya juu chini asafishwe vzr ,kaa baada ya miezi 6 tafuteni tena mimba nyingine mtapata tuu na kuwa makina na mkeo akiwa mjamzito usimpe stress,asifanye kazi ngumu au kama unapesa akipata tuu mimba muweke bed rest hospital bac ushamaliza mtoto mnapata na mimba aitoki tena.Miezi miwili na nusu mkuu
Asante sana...ninazingatia ushauri wakoFanya juu chini asafishwe vzr ,kaa baada ya miezi 6 tafuteni tena mimba nyingine mtapata tuu na kuwa makina na mkeo akiwa mjamzito usimpe stress,asifanye kazi ngumu au kama unapesa akipata tuu mimba muweke bed rest hospital bac ushamaliza mtoto mnapata na mimba aitoki tena.
Alipewa vidonge vya kusafisha na akapiga ultra sound yuko vzr hakuna Uchafu mwingine uliosaliaFanya juu chini asafishwe vzr ,kaa baada ya miezi 6 tafuteni tena mimba nyingine mtapata tuu na kuwa makina na mkeo akiwa mjamzito usimpe stress,asifanye kazi ngumu au kama unapesa akipata tuu mimba muweke bed rest hospital bac ushamaliza mtoto mnapata na mimba aitoki tena.
Inashauriwa miezi 6Habari ya Mchana wana JF, naomba kujuzwa inachukua muda gani tena kwa mwanamke aliyeharibu ujauzito kuanza kutafuta ujauzito mwingine / yaani anatakiwa kukaa muda gani ili ashike tena ujauzito?