Misemo iliyobamba na kuacha gumzo, tupia unaokumbuka

Misemo iliyobamba na kuacha gumzo, tupia unaokumbuka

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Wakuu,

Kuna vimesemo na vijimaneno huwa vinazuka na kubamba na kisha kupotea baada ya muda. Unakumbuka msemo gani uliobamba sana na kusepa na kijiji? Tupia hapa na watoto 2000 wapate vya kusimulia.

Si mbaya ukaeelezea kwa kifupi msemo ambao unaona sio maarufu kwa wengi, utuambie ulitokea hapi na ikawaje ukabamba.

Haya ni baadhi ya ninayokumbuka;

  • Upepo wa kisulisuli - Rwakatare
  • We umesikia wapi
  • Maake hapo kwanza ncheke
  • Soma hiyo
  • Kivumbi leo
  • Mjegegeje
  • Acha fezea
  • We zombi, aujui
  • 900 itapendeza
  • Upepo wa kisulisuli
  • Pesa nyingi maneno kidogo
  • Kadri unavyopanua ndiyo wanavyotamani - Tibaijuka

Sasa inayobamba ni, I HATEE YOUUUU.... Mtoto mdogooo kutoka kwa bwana Top in Dar mwenyewe, pamoja na Nasimama na Mama kutoka kwa chawa pro max.
 
● Mwa J mbwa yule
● Ana uti grade one
● Chawa wa mama
● Kizimkaz
● Anaupiga mwingi
● Basi komenti ziwe fupfupi
● Ngoja waje wakupe muongozo
● Tatizo binadam ni wabishi sana
● Saitakuaje
● Sawa mkuu
 
Wakuu,

Kuna vimesemo na vijimaneno huwa vinazuka na kubamba na kisha kupotea baada ya muda. Unakumbuka msemo gani uliobamba sana na kusepa na kijiji? Tupia hapa na watoto 2000 wapate vya kusimulia.

Si mbaya ukaeelezea kwa kifupi msemo ambao unaona sio maarufu kwa wengi, utuambie ulitokea hapi na ikawaje ukabamba.

Haya ni baadhi ya ninayokumbuka;

  • Upepo wa kisulisuli - Rwakatare
  • We umesikia wapi
  • Maake hapo kwanza ncheke
  • Soma hiyo
  • Kivumbi leo
  • Mjegegeje
  • Acha fezea
  • We zombi, aujui
  • 900 itapendeza
  • Upepo wa kisulisuli
  • Pesa nyingi maneno kidogo
  • Kadri unavyopanua ndiyo wanavyotamani - Tibaijuka

Sasa inayobamba ni, I HATEE YOUUUU.... Mtoto mdogooo kutoka kwa bwana Top in Dar mwenyewe, pamoja na Nasimama na Mama kutoka kwa chawa pro max.
Hivi vimisemo vya juzi....

NAMBRIIIEEEEEEE huku domo linanesanesa
 
TID - Huyu Nani, Who is this guy, Why between my interview you are passing around. I hate youuuu
 
Wakuu,

Kuna vimesemo na vijimaneno huwa vinazuka na kubamba na kisha kupotea baada ya muda. Unakumbuka msemo gani uliobamba sana na kusepa na kijiji? Tupia hapa na watoto 2000 wapate vya kusimulia.

Si mbaya ukaeelezea kwa kifupi msemo ambao unaona sio maarufu kwa wengi, utuambie ulitokea hapi na ikawaje ukabamba.

Haya ni baadhi ya ninayokumbuka;

  • Upepo wa kisulisuli - Rwakatare
  • We umesikia wapi
  • Maake hapo kwanza ncheke
  • Soma hiyo
  • Kivumbi leo
  • Mjegegeje
  • Acha fezea
  • We zombi, aujui
  • 900 itapendeza
  • Upepo wa kisulisuli
  • Pesa nyingi maneno kidogo
  • Kadri unavyopanua ndiyo wanavyotamani - Tibaijuka

Sasa inayobamba ni, I HATEE YOUUUU.... Mtoto mdogooo kutoka kwa bwana Top in Dar mwenyewe, pamoja na Nasimama na Mama kutoka kwa chawa pro max.
una fa mchezo nin...

majotroo,

utajua hujui :pedroP:
 
Wakuu,

Kuna vimesemo na vijimaneno huwa vinazuka na kubamba na kisha kupotea baada ya muda. Unakumbuka msemo gani uliobamba sana na kusepa na kijiji? Tupia hapa na watoto 2000 wapate vya kusimulia.

Si mbaya ukaeelezea kwa kifupi msemo ambao unaona sio maarufu kwa wengi, utuambie ulitokea hapi na ikawaje ukabamba.

Haya ni baadhi ya ninayokumbuka;

  • Upepo wa kisulisuli - Rwakatare
  • We umesikia wapi
  • Maake hapo kwanza ncheke
  • Soma hiyo
  • Kivumbi leo
  • Mjegegeje
  • Acha fezea
  • We zombi, aujui
  • 900 itapendeza
  • Upepo wa kisulisuli
  • Pesa nyingi maneno kidogo
  • Kadri unavyopanua ndiyo wanavyotamani - Tibaijuka

Sasa inayobamba ni, I HATEE YOUUUU.... Mtoto mdogooo kutoka kwa bwana Top in Dar mwenyewe, pamoja na Nasimama na Mama kutoka kwa chawa pro max.
Utafinywa na wachawi wa imaya hii

We Zuuchuu tu

Liwalo na liwe
 
Back
Top Bottom