Misemo na Maneno ya zamani

mchafukoge........ sehemu chafu
kajamba nani ...... daraja la chini/watu wengi waliobanana
masihara ............. utani
aghalab................. mara nyingi/kwa kawaida
alamsiki................ kuaga
subalkheri............... salam
baradhuli ............... mtu asiye na heshima
 
Shuani =
Tina buu =
Ugali wa kenya =
Raizoni =
Bugaluu =
Kriplini =
Juni Kumi na Tano = JKT
Mbayuwai =
Mchonga meno =
Meneja wa kijiji =
Kaburu matata hiya - hiya =
Nduli =
Manyang'au =
Penzi Kitovu cha Uzembe =
Saboso =
 
jiti= shilingi mia
gwala= shilingi tano
pauni=shilingi ishirini
thumni= senti hamsini
mche=sigara
tukitoe=tuondoke
dingi=baba/Mzee
nyapu/demu=msichana
mjengo=nyumba ya maana
Mbaula=Fiati 682
Rondo=landrover
chamu=gongo
lawalawa=Pipi
ubeche=ubwabwa/wali
nguna/dongo=ugali
 
Zamani sisi old skool tulikuwa na mismeo yetu

BABA = DINGI
MAMA = MAZA
UGALI = BONDO
Kuaga unaondoka unasema unajikata
Shilingi mia = JITI
Shilingi mia tano = JERO
Shilingi tano = DALA
Shilingi ishirini = MBAU
Shilingi alfu = BUKU
Afande = NDULA
Mpenzi = KISHTOBE

Mengine ongezeni wenyewe
 


NDULA = kiatu cha afande au buti
Afande = Njagu au Ndata
Shilingi mia tano = PAJERO ambayo siku hizi inaitwa JERO
 
Dar es salaam = City

Mitindo ya mavazi:
Moca
Don't touch
Tina
Santana

Unyoaji nywele:
Push back
 
Inaelekea maaskari wana majina mengi aisee; njagu, ndata, mwera, afande, wazee, wenye nchi, serikali ...
 
Inaelekea maaskari wana majina mengi aisee; njagu, ndata, mwera, afande, wazee, wenye nchi, serikali ...

Alafu ukisikia 'Njagu kinaa' basi ujie huyo ni mnoko kichizi hata umpe hongo hakubali lazima akufikishe kituoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…