Abiria: We konda kuna siti humo?
Konda: Zipo bi mkubwa, choma ndani, unaenda wapi?
Abiria: Magomeni
Konda: Fungua nauli kabisa...........................poapoa, haya rudi nyuma
Abiria: We konda mbona sizioni siti?
Konda: Acha masihara bi mkubwa, hao wenzako wamekalia mawe kwani?