Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,455
- 1,621
Sio lazima awe unavyotaka wewe alafu amebase sana kwenye mpira wetu wa kibongo uswahilini kwa hiyo anaplay part vizurihana lolote, sauti mbovu tu..!
walikuwa wanamuweka kama mchambuzi kwenye ndondo cup, anaongea ujinga tu muda wote...!
Mbwiga mi mburudishaji mzuriSio lazima awe unavyotaka wewe alafu amebase sana kwenye mpira wetu wa kibongo uswahilini kwa hiyo anaplay part vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hovyo sana yule jamaa.Alikua ananiharibia utulivu wkt nafuatilia ndondo cup.hana lolote, sauti mbovu tu..!
walikuwa wanamuweka kama mchambuzi kwenye ndondo cup, anaongea ujinga tu muda wote...!
Anamambo ya kizaramo sana!Usipokuja ngoma ya mwanangu, msiba wa baba yako siji.
Huyo jamaa sijui walimwekaga WA nn apo clouds
blame no body[/QUOTE jamaa anapanda ndege kwa misemo yake
Huyo jamaa sijui walimwekaga WA nn apo clouds
blame no body
analipwa kwa ilo lisauti lakehana lolote, sauti mbovu tu..!
walikuwa wanamuweka kama mchambuzi kwenye ndondo cup, anaongea ujinga tu muda wote...!
Jamani huyu jamaa anaitwa Mbwiga wa redio clouds ana misemo inayofurahisha sana hebu tupia hapa unayoikumbuka; mimi ninayo miwili.
(1)mtoto hatumwi dukani.
(2)kuku mweusi hafukuzwi usiku.