Misemo ya watu wenye wivu ongezea yako

Namba 5 na 7 vimenichekesha.

Ila kwa namba 14, siwezi kununua gari wakati sijajenga-Naunga hoja.
Dah......Hivi ipi ni gharama kubwa katika maisha....kodi ya nyumba au nauli ya taksi??πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Dah......Hivi ipi ni gharama kubwa katika maisha....kodi ya nyumba au nauli ya taksi??πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Nauli ya taksi inapatikana kirahisi kuliko mjengo
 
Ni mzuri lakini haolewi
Sivutii lakini niko mtamu, hii ni kwa sisi wanawake kama mjuavyo hatupendanagi
 
HUWEZI KUNIJIBU MIMI HIVYO


ahahaaa watu wahumu ndani Hivi mmerogwa hahaa
mimi nadhani hata hao TCRA KAMA HUWA WANAZIONA HIZI COMMENT HUWA WANAISHIA KUPUNGUZA STRESS KWA VICHEKO HAAHAA
 


MSINIPANGIE...
 
Rais anaweza kuwa Magufuli bwanaaaaaaa, mimi huyu hata akinipa ukatibu namkatalia, sipendi ujinga.
 
Kwa serikali hii ya stress (awamu ya tano), mimi sitaki cheo chochote....wacha tu niishi kwa kuuza mchicha mtaani.
 
MISEMO YA WATU WENYE WIVU
1.Siwezi nunua gari kwa mkopo
2.Huyo bwana wake mkubwa kuliko yeye, alifuata pesa tuu
3.Iphone kitu gani, simu simu tuu bora mawasiliano
4.Siwezi kula chakula cha kwenye fridge
5.Anajifanya amesoma lakini hata haolewi
6.Siwezi endesha Vits bora nitembee kwa miguu
7.Kuolewa ni stress tuu bora nikae single
8.Microwave inaleta cancer
9.Anaendesha V8 halafu anaishi uswazi
10.Hiyo nguo anajifanya amenunua laki tatu wakati ni elfu thelathini tuu kariakoo
11.Hiyo Kazi aliipata baada ya kutembea na bosi
12.Hata kama ana degree, maisha yake sawa tuu na yetu
13.Kwani Mercedes ina miguu mitano, gari gari tuu
14.Siwezi nunua gari wakati sina nyumba
15.Anaenda gym kila siku lakini ana umbo bayaa
16.Anajifanya kuongea kizungu wakati kwao shamba tuu
17.Anaringaaa, Ataachwa tuu
18.Ana umbo zuri lakini hajui kuvaa
19.Usione amenenepa hivyo anatumia ARV
20.Hakuna jipya kwenye ndoa
21.Amaisha ulaya anaosha vyombo haha
22.CCM imekosa dira, haha kumbe kanyimwa uwaziri
24. Siwezi kuoa mnyarwanda wana maji mengi
ONGEZEZEA NILIYOISAHAU

Hu hu hu hu hu hu hu hu hu hu hu hu hu hu hu hu hu hu hu hu hu hu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…