Acha "Makonda" wawe wakorofi na jeuri kwani sisi nasi abiria ni "Kero" Kwao.WASIOPANDA DALADALA WANAKOSA UHONDO WA KAULI HIZI:
1) Nitakupa.
2) Atakupa mbele.
3) Hujapewa mbele?
4) Utapewa nyuma.
5) Nitakupa nikikaa vizuri.
6) Ngoja isimame nikupe.
7) Subiri asimamishe nikupe.
8) Hivi nilivyokaa nitakupaje?
9) Utapewa tulia.
10) Nikupe mara ngapi?
11) Msimpe nimeshampa huku mbele!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwenye upande wa mizigo ndio shida kabisa
1.Wewe dada mwenye mzigo mkubwa weka vizuri mwenzio aingie
2. Unamzigo mkubwa sikubebi
3. Mzigo wako mkubwa ongeza hela
4. Mama na hilo pipa lako /mzigo wako unaenda wap
5. Pandisha mzigo huo tuamshe
6. Mpe mzigo yule mjomba pale mbele
7. Dereva tuchukue huyu mwenye limzigo/ kamzigo kadogo
"Utapewa nyuma" wakimaanisha nauli
Tanua miguu nipitishe mzigo
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£11) Msimpe nimeshampa huku mbele!
Kalia ndooKuna kinda mmoja aliniambia
"Kalia ndoo"
Nikamwambia
haijasimama vizuri
Means inatikisika,
Walinicheka nkamaind baadae niliposhuka kuna mtani wangu nilipanda nae akanikumbushia nilivomjibu eti walimaanisha vingine nilichukiaaaaaaa! Nageuka kuiangalia daladala haupo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Panua Miguu yako Mwenzio aingize[emoji117] MZIGO[emoji15][emoji15][emoji15] wake kwa Chiniiii.....
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
ππππππnyanyua miguu nipitishe mzigo