OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 426
- 685
Wasalaam,
Bei za mafuta zinahusika moja kwa moja na ongezeko la gharama za maisha kutokana na mfumuko wa bei ambapo kuenda sawa na hali hiyo, mishahara hupaswa kuongezwa ili kuwafanya watumishi wasipoteze nguvu ya kununua.
Mishahara ya watumishi wa serikali haijapanda kwa muda wa miaka kadhaa na hivi karibuni Rais amesema 'Lile Jambo lipo' ambapo wanapiga hesabu ili kubaini waongeze asilimia ngapi mishahara ya watumishi. Wakati huohuo bei za mafuta zimeendelea kupanda kwa kasi na kuonesha hali mbaya mbeleni, yaani hata mtumishi akiongezewa mshahara Julai haitakidhi kwa kuwa kasi ya ongezeko la mshahara haliko sawa na kasi ya ongezeko la gharama za maisha.
Hata hivyo, fedha za matumizi mbalimbali zinaweza kutumika ku-subsdize mafuta ikiwemo kuondoa baadhi ya kodi na tozo ili bei za mafuta ziwe stable. Njia hizi mbili haziwezi kwenda pamoja. Yaani tutachagua kuongeza mishahara ili kumpa nguvu mnunuzi, au kumlipa mnunuzi ili kupunguza gharama anazoingia.
Moja kati ya jambo baya ni kuwa, ni rahisi sana kwa bei za mafuta, lakini kushuka ni suala gumu kidogo.
Swali ni je, tuongeze mishahara ili watumishi wawe na nguvu ya ununuzi, au tusubsdize ili kudhibiti bei za mafuta?
Mkoba Mfuko wa kutoka Morogoro
Bei za mafuta zinahusika moja kwa moja na ongezeko la gharama za maisha kutokana na mfumuko wa bei ambapo kuenda sawa na hali hiyo, mishahara hupaswa kuongezwa ili kuwafanya watumishi wasipoteze nguvu ya kununua.
Mishahara ya watumishi wa serikali haijapanda kwa muda wa miaka kadhaa na hivi karibuni Rais amesema 'Lile Jambo lipo' ambapo wanapiga hesabu ili kubaini waongeze asilimia ngapi mishahara ya watumishi. Wakati huohuo bei za mafuta zimeendelea kupanda kwa kasi na kuonesha hali mbaya mbeleni, yaani hata mtumishi akiongezewa mshahara Julai haitakidhi kwa kuwa kasi ya ongezeko la mshahara haliko sawa na kasi ya ongezeko la gharama za maisha.
Hata hivyo, fedha za matumizi mbalimbali zinaweza kutumika ku-subsdize mafuta ikiwemo kuondoa baadhi ya kodi na tozo ili bei za mafuta ziwe stable. Njia hizi mbili haziwezi kwenda pamoja. Yaani tutachagua kuongeza mishahara ili kumpa nguvu mnunuzi, au kumlipa mnunuzi ili kupunguza gharama anazoingia.
Moja kati ya jambo baya ni kuwa, ni rahisi sana kwa bei za mafuta, lakini kushuka ni suala gumu kidogo.
Swali ni je, tuongeze mishahara ili watumishi wawe na nguvu ya ununuzi, au tusubsdize ili kudhibiti bei za mafuta?
Mkoba Mfuko wa kutoka Morogoro