Mdau Makin
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 767
- 207
'"Mishahara ya watumishi juu'"
Hatimaye watumishi wa umma na
sector binafsi wakumbukwa.
Mishahara mipya kwa watumishi wa
serikali na sekta binafsi yatangazwa rasmi, ni nyongeza ya asilimia 50
kuanzia September mosi mwaka huu.
Wafanyakazi wametakiwa kuendelea
kuchapa kazi kwa bidii zote neema
ndo kwanza imewashukia.
*NB: Ifahamike vema kuwa habari hii ni kule
nchini Mexico,Tanzania tuendelee
kusugua goti kwa maombi zaidi...........!!!
Hatimaye watumishi wa umma na
sector binafsi wakumbukwa.
Mishahara mipya kwa watumishi wa
serikali na sekta binafsi yatangazwa rasmi, ni nyongeza ya asilimia 50
kuanzia September mosi mwaka huu.
Wafanyakazi wametakiwa kuendelea
kuchapa kazi kwa bidii zote neema
ndo kwanza imewashukia.
*NB: Ifahamike vema kuwa habari hii ni kule
nchini Mexico,Tanzania tuendelee
kusugua goti kwa maombi zaidi...........!!!