Mdau Makin
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 767
- 207
Unaishi na mshahara tuu?Utakufa wewe,kama ni mwl uza ubuyu na karanga au fundisha tuition,kama ni nesi/dr fungua duka la dawa na wale wengine tafuta kinachoendana na taaluma yako,kwasasa MALAIKA haelewekiJamani vipi jamaa hawajatoa salary mpaka leo?hali ngumu sana aisee,nifahamisheni sina huduma ya mobile