Mishahara marais wa Afrika: Huu wa ugonjwa wa akili!

King Mswat analipwa ngapi?
 
Mkuu Waltham, unapoleta mada jamvini, itengeneze vizuri isilete ukakasi. Tunapozungumzia mishahara ya Marais, kianzia wanaopata mishahara mikubwa hadi wale wanaopata ile midogo, tueleze umetumia fedha ya wapi (Currency) ili sote tuweze kuipima kwa usahihi. Umetutajia majina ya Marais, Nchi zao na namba zinazowakilisha mishahara yao. Hiyo Currency ni ya Nchi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…