MissM4C
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,740
- 1,005
Mishahara ya vigogo Kenya yaanikwa peupee (Top National Leader) kwa Mwezi, Kuanza rasmi baada ya uchaguzi huu(2013)
1. RAISI Atapokea $20,000 [Tsh 30,000,000/=]
2. Makamu Wa Rais atapata $13,000 [Tsh 19,500,000/= au MIL 19.5]
3. Spika wa Bunge Atapata $12,000 [Tsh 18,000,000/= au MIL 18 kwa Mwezi.
4. JAJI MKUU Atapata $11,000 [Tshs 16,500,000/=au MIL 16.5 Kwa mwezi.
5. Katibu Baraza la Mawaziri atapata $9,600 [Tsh 4,800,000/= MIL 4.8]
5. Gavana wa Kenya atapata $9,500 [Tsh 1,450,000/= au Mil 1.45]
6. WABUNGE | Member of Parliament (MP) Watalipwa $6,352 = Tsh 10638000/= Au MIL 10.7]
Exchange Rate 1$ = roughly Tsh 1,500/=
Chanzo:- AFRICA FOCUS
Vipi anaejua Mishahara ya vigogo wa Tz anijuze hapa? Why inafichwa.
Nchi za kibepari kama Tz ziige mfano kwa Kenya.
1. RAISI Atapokea $20,000 [Tsh 30,000,000/=]
2. Makamu Wa Rais atapata $13,000 [Tsh 19,500,000/= au MIL 19.5]
3. Spika wa Bunge Atapata $12,000 [Tsh 18,000,000/= au MIL 18 kwa Mwezi.
4. JAJI MKUU Atapata $11,000 [Tshs 16,500,000/=au MIL 16.5 Kwa mwezi.
5. Katibu Baraza la Mawaziri atapata $9,600 [Tsh 4,800,000/= MIL 4.8]
5. Gavana wa Kenya atapata $9,500 [Tsh 1,450,000/= au Mil 1.45]
6. WABUNGE | Member of Parliament (MP) Watalipwa $6,352 = Tsh 10638000/= Au MIL 10.7]
Exchange Rate 1$ = roughly Tsh 1,500/=
Chanzo:- AFRICA FOCUS
Vipi anaejua Mishahara ya vigogo wa Tz anijuze hapa? Why inafichwa.
Nchi za kibepari kama Tz ziige mfano kwa Kenya.