Mishahara serikalini?


mkuu sisi kama wahasibu hatujawahi kupanga wala hatutegemi kupanga tarehe ya mishahara. Ukiongea simama kama wewe ueleze ukweli,sisi tukikuta hamna cheki, hatuwezi ilazimisha hazina iidhinishe ela,naona hapa wahasibu tunaonewa. Nakumbuka hata allowance zikikwama mnajaa uhasibu,sisi ndo tunaidhinisha ela au?nataman siku moja nawe ufanye kazi hii ndo ujue lawama mbaya.
 

Wahasibu matatizo yaonekane kila taasisi/idara kwa wakati mmoja?
 
Na hili JK atajitetea hata mwalimu, mkapa na mwinyi walichelewesha mishahara sembuse mimi

haya ndo maisha bora kwa kila mtz,ata cjui haya maisha yanakoelekea.vitu vimepanda bei na mishahara yenyewe midogo na bado wanaichelewesha.mi mwenyewe mshahara had leo hakijaeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…