Habar za jion wakuu?eti jamani mshahara wa mwez uliopita nilikatwa 65000 nikafuatilia walimu wenzangu wachache nao wakadai wamekatwa kama mimi! Tulivyofuatilia tukaambiwa ni toka hazina je nani anataarifa ya hii kitu atujuze?
Habar za jion wakuu?eti jamani mshahara wa mwez uliopita nilikatwa 65000 nikafuatilia walimu wenzangu wachache nao wakadai wamekatwa kama mimi! Tulivyofuatilia tukaambiwa ni toka hazina je nani anataarifa ya hii kitu atujuze?