Shekizongoro
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 388
- 153
walimu tusipifanya maamuzi magumu kuitoa ccm kwenye madaraka basi mishahara yetu haitapanda na maisha yetu yataendelea kuwa magumu!!
sijui ninini? kwani wilaya ya ngorongoro mishahara imeingia nusu na wengi wao hawajapata ingawa tayari wapo kwenye pay roll. wengi wanasema kwasababu imetoka hazina direct hebu wenye uelewa zaid watujuze