Mishahara

Unadhani mimi mjinga kama wewe

Umeanza etiii..
We mpigamsuli punguza ushenzi wako...
Unadhani atakuja mtu akupigie mbira kua you're grown up....
Afu sitaki ligi na wewe,coz hukawiagi kureport abuse kwa admin....
 
Huyu dogo yupo kama tahira,sijui haya nani kamuuliza...

Acha kuropoka,info zenyewe ni uongo mtupu

Si tahira bali anajalibu kuonesha tofauti za mishahara tuliyonayo, kwani ww kwako ni take home lkn kwa mwingine ni just posho.
 
Si tahira bali anajalibu kuonesha tofauti za mishahara tuliyonayo, kwani ww kwako ni take home lkn kwa mwingine ni just posho.

Wewe hukumuelewa huyo pimbi....
Yeye nia yake ni kutafuta ligi,kwani unaweza kufananisha mshahara wa mwalimu na wa daktari,mhandisi,nk nk
Siku zote classes huwa zipo kwenye jamii yoyote (hakuna asiyefahamu hili),lakini huyu mtoto katuletea upuuzi wake ili mradi walimu tudharaulike
 

Onyesha wapi nimezungumzia mishahara wa wahandisi na madaktari
 

hapo kwenye mabano (<< >>)
 
Unafuatilia mambo kweli wewe? ulimsikia john mnyika mwaka jana alivyokuwa anamwambia waziri wa home affairs?


Hebu tulia wewe sio unaongea kama chizi,werevu wanaongea vitu sensible sio kukurupuka na kushabikia waimba tarabu...

Sidhani kama poso ya ras copral wa pilisi ni sawa na RPC eti wote wapokee 200k,yani private wa jwtz apokee 350k na mwamunyange apokee hiyohiyo,panua ubongo wako ujifunze mengi...choko wewe
 

Mpaka hapa umekubali kwamba Mishahara ya education kwengine ni posho
 
me sisemi ila graduate police salary,posho na mengineyo ni more than 1m per month na field force ndio dili zaidi karibuni
 
Mpaka hapa umekubali kwamba Mishahara ya education kwengine ni posho

Siwezi nikashabikia uchwere wako,kiazi kikuu wewe....
Sio unaropoka ropoka tu kama taira...
Hebu nenda al muntazir,st.jude arusha,braeburn, ulizia pesa ya remidial per week ni zaid ya 500k....
 
Sory kwa kuwaingilia topic yen
Nlikua nataka njuzen mishahara mbalimbali ya
Certficate in agriculture
Diploma in agriculter
Degree in agriculture
Nawasilisha
 
tatizo la MPIGAMSULI na pumbav mwenzake PERRY wanadhani mishahara ya walimu ipo static haibadiliki huo ndo upumbav yan hajui wapo walimu wanaopokea hadi milion 2 na upuuz yani mmebaki kushadadia stating salary wkt kila secta mishahara haitofautiani sana ni kidogo 2 iwe mwalimu nesi polisi, n.k mishahara haitofautiani hebu tafteni pay ral za secta zote mtaelewa nazungumzia nn. Au kwa kuwa huko kwingine kuna mianya ya rushwa that,s why mnawaona wanalipwa pesa nying kuliko WALIMU ongeeni kwa kufanya uchunguz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…