Mishahara


hebu mwambie huyo dogo coz nadhan mzimu wa ndalichako bado unamsumbua mkuu.
 

sasa mie unani2kana kwa sababu gani jomba,au kisa nimeulza kama huo ni mshahara au posho?
 
Degree mbilii haaaaa labda za kulina asali

hauta amini najua, tatizo lako unadhan wote humu ndani 2ko level sawa thats why unaropoka 2 usichokijua. ehee kulina asali ndo kufanyaje??
ila sikia kama unataka cv yangu nitafute pm. Ilaa najua unaumia kusikia watu 2na degree mbil wkt wewe ulitukana walimu matokeo yake ukavuna dv 0 pls sitaki ligi na wewe
 

Uandishi wako, comments zako hazionyeshi kwamba unadegree mbili
 
Shindanisheni hoja sio matusi jamani"FICHA UPUMBAFU WAKO USIFICHE BUSARA ZAKO"
 
Msipende kila mtu ajue tabia zenu za matusi na kejeli.
 
Povu za nini wakuu?msaidieni mleta mada kwa mtindo huo mnamsaidiaje mwenye shida sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…