MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 886
Kwenye"Kufanyakazi serikalini ni wito" nimeanza kuiamini hii kauli si kwa walimu tu sekta zote serikalini ni maumivu, wanaofaidi ni wale waliopo kwenye Govt agencies.
Tunashukuru sana
Kwenye
blue
unamaanisha sio sekta za serikali au?
Walimu ni mtaji wa maccm!
Walimu ni mtaji wa maccm!
Mkuu kumbe we ni Teacher...
Govt agencies are semi-autonomous, they have got their own budget and they have power to set their own salaries. Serikali haina malmaka nazo ya moja kwa moja siyo kama wale wa halmashauri/local govt au hata serikali kuu ambapo mpaka vikao vya wahuni wa dodoma vilidhie malipo yenu ndiyo mfikiriwe.