Mishipa ya miguu kuvuta na kuuma.

MwanawaMUNGU41

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
1,036
Reaction score
737
Habari wakuu,
Nimekuwa nasumbuliwa sana na mishipa kuvuta na kuuma mpk mguu unacheza cheza kuanzia usawa wa tumbo mkono wa kulia yaani sina raha kabisa. Nimeenda hospitali nikapewa dawa lkn hazinisaidii maumivu hayapoi wala kuisha inafikia hatua hata kutembea vzr nashindwa,yaani ni kuanzia pembeni ya tumbo,paja na mguu wote unacheza cheza yaani hata tako likitisika naumia, mwanzo niliambiwa ni ukosefu wa madini labda lkn baada ya kupima tatizo halikuonekana,naomba kujua chanzo na tiba ya tatizo hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…