jacobae Member Joined Oct 29, 2007 Posts 68 Reaction score 1 Mar 16, 2011 #1 Kuna jamaa amejinadi anauza mishkaki ya paka na kuiuza Tsh 50 ila yeye na familia yake hawatumii. Kwa siku anachinja hadi paka wanne!!! Je kwa kufanya hivyo amevunja sheria yoyote? Nisaidieni wangwana.
Kuna jamaa amejinadi anauza mishkaki ya paka na kuiuza Tsh 50 ila yeye na familia yake hawatumii. Kwa siku anachinja hadi paka wanne!!! Je kwa kufanya hivyo amevunja sheria yoyote? Nisaidieni wangwana.
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Sep 27, 2017 #2 Aisee...yuko wapi huyo jamaa
ipogolo JF-Expert Member Joined Aug 15, 2011 Posts 6,280 Reaction score 5,979 Sep 27, 2017 #3 Mburahati madoto