Misikiti mingi Zanzibar imeshafungwa kukwepa maambukizi ya COVID -19

Misikiti mingi Zanzibar imeshafungwa kukwepa maambukizi ya COVID -19

dega

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2012
Posts
3,172
Reaction score
3,082
Pamoja na mamlaka husika kutozuia mikusanyiko ya kiibada katika kipindi hiki cha hatari cha maambukizo ya ndani. Na pamoja na Ofisi ya Mufti mkuu kuelekeza ufanyaji wa Ibada na hasa upangaji wa mistar (safu) uwe si wakuganda kama sheria inavyotaka badala yake iwe mita moja baina ya mtu na mtu

Lakini viongozi wengi wa Msikiti wameona suluhisho kwa muda huu ni kuifunga Misikiti kuoisha hatari ya maambukiz kwa Waumini hivyo Misikit mingi mjini hapa imefungwa na hakutakua na ibada za swala za fardhi wala sala ya tarawehr pengine hata swala zaidi waumin wamwtakiwa kuswali majumbani na kuendelea kuchukua tahadhar juu ya gonjwa hili thakili kama vile uslamu unayoelekeza

# BAKI NYUMBANI
#SWALI NYUMBANI
# OSHA MIKONO
# EPUKA MIKUSANYIKO
#ZANZIBAR BILA CORONA INAWEZEKANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazanzibar wapo mbali sana ukilinganisha na Tanzania bara, wapo very open and transparent kwa uhai wa jamii zao, Tanzania bara ndio itawakwaza, najua hao walisha kuwa na television muda mrefu zaidi kuliko Tanzania bara.

Report zao zao corona zipo very accurate kuliko Tanzania bara Mungu awalinde, cha msingi fungeni mpaka kati yenu na Tanzania bara hapo ndio mtakuwa salama. Huo ugonjwa unaweza kufyeka kisiwa kizima cha Zanzibar kama hamta kuwa makini.Afya za Wazanzibar ni nyepesi sana ukilinganisha na wabara, mzanzibari anaweza kula chapati na kunde kwa kutwa nzima, mbara hiyo hawezi.
 
Kwakweli ninaishukuru Radio Maria imeniongoza vyema katika kipindi hiki cha self lockdown
 
Mungu yupo popote kwa wakati wowote, maamuzi hayo ni moja ya matumizi ya akili tuliopewa ili kujilinda dhidi ya hatari.
 
Back
Top Bottom