Misikitini waanza kutumia mafuta ya Upako, Sheikh aonekana akinywesha watu mafuta katika ibada

Misikitini waanza kutumia mafuta ya Upako, Sheikh aonekana akinywesha watu mafuta katika ibada

Kitaa kigumu, ustaadh kaona ajiongeze na yeye😄😄.

Uzuri wa uislam upo wazi kabisa. Ukikubali kunywesha mafuta ni upumbavu wako mwenyewe.
 
Hawa masheikh wanawaiga kina mwamposa, wameona wanakimbiwa na waumini wao wapenda mafuta ikabidi nao waanzishe yao.
 
Sheikh huyu amekuwa akitumia mafuta ya upako na kuwanywesha watu wenye matatizo mbalimbali waliohudhuria swala msikitini.


View attachment 3127246
Sio mskitini sema mpigaji muislamu kaanza kujiongeza, kwa kutumia maji ya mzaituni, mskitini hawawezi kukanyaga atapigwa na waumini kabisa.
 
Mafuta ya mzaituni ambayo ni dawa ya asili , hao viongozi wanasema wanasomea dua ila kiukweli bila ya kusomea unapona ...Mfuta hayo nimetumia sana kutibu majeraha ya sehemu zilizoumia ....Kuna habati soda , karafu , mdalasini hata ilizi unaweza kuchanganya then unakutumia kujichua au kuoga pia inasaidia .

Nenda msikiti wa ghazija pale posta yanauza miaka na miaka pale nje , watu wanagombania .
 
innalilayhi wa innailayhi rajiuunnnnn, njaa hizi na ukosefu wa ilmu zinatupeleka pabaya sana .
 
innalilayhi wa innailayhi rajiuunnnnn, njaa hizi na ukosefu wa ilmu zinatupeleka pabaya sana .
cha kushangaa ni nini sheikh? Abrakadabra zimejaa kila dini kuwarubuni wenye shida na akili ndogo
 
Back
Top Bottom