Mecury
Member
- Jan 5, 2013
- 83
- 40
Siku nyingine baada ya kula mlo mmoja tu na muda mfupi tu baada ya kuzipitia jumbe fupi za zamani kutoka benki fulani hapa nchini ambayo nami nilikuwa mteja wa muda mrefu sana.
Nikikumbuka miamala niliyokuwa naifanya kwa ajili ya kukidhi mahitaji yangu na starehe mbalimbali.
Nimemkumbuka pia girlfriend wangu wa kipindi kile, ambae kila wakati akitimba geto wadau wanabaki kuulizana MECURY katoa wapi tena chombo hii mtoto alikua hazoeleki kabisa, mpya kila kukicha.
Nimeukumbuka mwili wangu uliokuwa umejengeka vizuri kabisa sababu ya kupata milo kamili na ziada pia, na hilo kupelekea kuwa 'crush' wa mabinti wengi waliopata bahati kunishuhudia katika siku zangu za neema.
Nimekumbuka mavazi maridadi niliyokuwa navaa, hakika sikuwa mtu wa kupitwa na fasheni ya wakati huo.
Mwaka unaelekea wa pili huu sijanunua kitu hata kimoja zaidi ya shati moja tu, nipo single ingawa sio kwa kupenda takribani miezi saba sasa.
Kwakweli siamini kama na leo mimi nimekuwa mtu wa kuishi siku baada ya siku.
Ila najipa moyo na kutumaini siku zangu za neema zitajirudia tena.
Sasa hivi nilichobakiza ni matumaini tu na jitihada ndo kampani yangu. Kila siku nikiomba zinirudishe katika siku zangu za neema.
Nikikumbuka miamala niliyokuwa naifanya kwa ajili ya kukidhi mahitaji yangu na starehe mbalimbali.
Nimemkumbuka pia girlfriend wangu wa kipindi kile, ambae kila wakati akitimba geto wadau wanabaki kuulizana MECURY katoa wapi tena chombo hii mtoto alikua hazoeleki kabisa, mpya kila kukicha.
Nimeukumbuka mwili wangu uliokuwa umejengeka vizuri kabisa sababu ya kupata milo kamili na ziada pia, na hilo kupelekea kuwa 'crush' wa mabinti wengi waliopata bahati kunishuhudia katika siku zangu za neema.
Nimekumbuka mavazi maridadi niliyokuwa navaa, hakika sikuwa mtu wa kupitwa na fasheni ya wakati huo.
Mwaka unaelekea wa pili huu sijanunua kitu hata kimoja zaidi ya shati moja tu, nipo single ingawa sio kwa kupenda takribani miezi saba sasa.
Kwakweli siamini kama na leo mimi nimekuwa mtu wa kuishi siku baada ya siku.
Ila najipa moyo na kutumaini siku zangu za neema zitajirudia tena.
Sasa hivi nilichobakiza ni matumaini tu na jitihada ndo kampani yangu. Kila siku nikiomba zinirudishe katika siku zangu za neema.