Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
1. Ukifika Sehemu... *Salimia*
2. Ukiondoka Sehemu..... *Aga*
3. Ukisaidiwa....... *Shukuru*
4. Ukiahidi...... *Tekeleza*
5. Ukikosea.... *Omba Msamaha*
6. Kama Hujaelewa..... *Uliza*
7. Unacho... *Gawa Kwa Wengine*
8. Huna.... *Usione Donge*
9. Ukivunja.... *Lipa*
10. Kama Hupendi...... *Heshimu*
11. Ukipendwa... *Onesha Upendo*
12. Huwezi Kusaidia... *Usisumbue*
13. Ukiharibu... *Rekebisha*
14. Ukikopa.... *Lipa*
15. Ukiulizwa .... *Jibu*
16. Ukiwasha....... *Zima*
17. Ukifungua...... *Funga*
18. Ukinunua.... *Lipa*
19. Ukichafua.. *Safisha*
20. Ukipungiwa..... *Punga*
21. Ukiazima... *Rudisha*
_Ukizifuata kanuni hizi, utaona jinsi utakavyoishi na watu vizuri hata kama huna hela.
2. Ukiondoka Sehemu..... *Aga*
3. Ukisaidiwa....... *Shukuru*
4. Ukiahidi...... *Tekeleza*
5. Ukikosea.... *Omba Msamaha*
6. Kama Hujaelewa..... *Uliza*
7. Unacho... *Gawa Kwa Wengine*
8. Huna.... *Usione Donge*
9. Ukivunja.... *Lipa*
10. Kama Hupendi...... *Heshimu*
11. Ukipendwa... *Onesha Upendo*
12. Huwezi Kusaidia... *Usisumbue*
13. Ukiharibu... *Rekebisha*
14. Ukikopa.... *Lipa*
15. Ukiulizwa .... *Jibu*
16. Ukiwasha....... *Zima*
17. Ukifungua...... *Funga*
18. Ukinunua.... *Lipa*
19. Ukichafua.. *Safisha*
20. Ukipungiwa..... *Punga*
21. Ukiazima... *Rudisha*
_Ukizifuata kanuni hizi, utaona jinsi utakavyoishi na watu vizuri hata kama huna hela.