Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
hamna cha kishujaa, KUTOKA MMETOKA KWAHERINITumepambana Sana ata tuktoka tunatoka kishujaa
Wakumbushe tu kuwa yanga bado wanaendelea kwenye mashindano ya kimataifa...Simba bye bye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yanga nao wametoka suluhu huko walikokuwaTumepambana Sana ata tuktoka tunatoka kishujaa
Wakimataifa ni wakimataifa siku zoteWakumbushe tu kuwa yanga bado wanaendelea kwenye mashindano ya kimataifa...
Kike ni kivipi?!wamepambana kiume!!
Ngoja warudi...wakifika tu mtibwa anawakaziaWakimataifa ni wakimataifa siku zote
Tumepambana Sana ata tuktoka tunatoka kishujaa
Yanga Bingwa...Kutoka ni kutoka tu...pamoja na kile kitimu kibovu ila ndo hivyo kimewatoa Thimba!!
Hayo maneno yetu ya kila siku watanzania. Tunatolewa kisha tunajipa moyo kuwa tumetoka kishujaa au kiume na wakati huo tunatolewa kwenye mashindanoTumepambana Sana ata tuktoka tunatoka kishujaa
Yanga bingwa...hamna cha kishujaa, KUTOKA MMETOKA KWAHERINI
Safi sana Mkuu Simba anastahili pongezi za Dhati kabisa AiseeeHongera Mnyama Simba
wanatokaje kwa mtibwa sasa?Ngoja warudi...wakifika tu mtibwa anawakazia
pigia mstariYanga bingwa...
Hayo maneno yetu ya kila siku watanzania. Tunatolewa kisha tunajipa moyo kuwa tumetoka kishujaa au kiume na wakati huo tunatolewa kwenye mashindano
Ila ki ukweli kwa dakika 20 za mwishoni simba wamepambana kiume!
ONLY IN TANZANIA utakuta haya maneno, mtu katolewa mashindanoni kwa kufungwa halafu tunajifariji na huu msemo.. 'kifo hakina jinsia nyie, kama kutolewa mmetolewa'wamepambana kiume!!