MISRI: Al Masry 0 - 0 Simba SC! Simba ametolewa katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika

Ulikuwa unaota bila shaka.....haya amka kawapokee wenzako kwa shangwe uwanja wa ndege.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Simba bado wana nafasi ya kupewa ushindi na FIFA maana AlMasry wamejiangusha sana uwanjani.

Tafadhali HAJI MANARA kama kawaida yetu, embu tumia tueufu hiyo..
 
Tukiendelea kushabikia wapinzani taifa kisa ya usimba na uyanga tutaishia hivihivi mmoja anarudi shirikisho mwingine anarudi k.koo
Utamaduni huu kama tim zote mbili zitauchukulia vizuri zitaona matunda yake.namaanisha simba wacheze sana ili yanga waaibike au yanga wacheze sana ili simba waaibike na mwisho wa siku watu hawa hupanda gari moja kurudi nyumbani na wengine huingia nyumba moja mi naona uendelee kama hamasisho ila usilete chuki
 
Ndio mmetoka asanteni kwa kushiriki, hampandi ndege tena hadi siku nyingine hukoooo
Aisee mmmh
Ss kati ya sisi na nyie nani ana afadhali
Hatujafungwa ugenini sisi
Nyie je
Na ndo chuki za kijinga tu sababu ni mpinzani wa Yanga
 
Aisee mmmh
Ss kati ya sisi na nyie nani ana afadhali
Hatujafungwa ugenini sisi
Nyie je
Na ndo chuki za kijinga tu sababu ni mpinzani wa Yanga
sawa, sisi bado tunapanda ndege...tupo kombe la shirikisho nyie byebye

Dont panic, mambo madogo haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…