Misri ingekuwa sio mbali nisingesubiri Simba day, kuna burudani huko za wachezaji sio kawaida

Misri ingekuwa sio mbali nisingesubiri Simba day, kuna burudani huko za wachezaji sio kawaida

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Yaani taarifa nilizozipata wakati Mwandishi wa Azam anasimulia leo kiukweli kusubiria Simba day ni mbali na parefu sana.

Vijana japo wana siku ya 4 lakin wanatandika pasi sio kawaida, timu haimtegemei mtu mmoja kama wale wehu wanaomshangilia kilema Chama.

Simba sasa inacheza kitimu, teamwork.Akitoka Lakred anaingia Salim, akitoka Kijiri anaingia Kapombe, akitoka Valentine anaingia Tshabalala, akitoka Che Malone anaingia Kazi, akitoka Chamou anaingia Hamza, akitoka Okajepha anaingia Kagoma, akitoka Mutale yuko Kibbu, akitoka Debora anaingia Mavambo, akitoka Mukwala anaingia Funga Funga, timu limesheheni watu wa atari.

Laiti kama tutakuwa wamoja na kuweka maslahi ya timu mbele, yoyote akae mbele.
 
Yaani taarifa nilizozipata wakati Mwandishi wa Azam anasimulia leo kiukweli kusubiria Simba day ni mbali na parefu sana.

Vijana japo wana siku ya 4 lakin wanatandika pasi sio kawaida, timu haimtegemei mtu mmoja kama wale wehu wanaomshangilia kilema Chama.

Simba sasa inacheza kitimu, teamwork.Akitoka Lakred anaingia Salim, akitoka Kijiri anaingia Kapombe, akitoka Valentine anaingia Tshabalala, akitoka Che Malone anaingia Kazi, akitoka Chamou anaingia Hamza, akitoka Okajepha anaingia Kagoma, akitoka Mutale yuko Kibbu, akitoka Debora anaingia Mavambo, akitoka Mukwala anaingia Funga Funga, timu limesheheni watu wa atari.

Laiti kama tutakuwa wamoja na kuweka maslahi ya timu mbele, yoyote akae mbele.
Woiwoiwoiwoiwoi ....aruruuuuuruuuuruuuuuuuruuuu bado ujamalizia utamu .......endelea aaaah (voice of makiligani wa ze comedy)
 
Yaani taarifa nilizozipata wakati Mwandishi wa Azam anasimulia leo kiukweli kusubiria Simba day ni mbali na parefu sana.

Vijana japo wana siku ya 4 lakin wanatandika pasi sio kawaida, timu haimtegemei mtu mmoja kama wale wehu wanaomshangilia kilema Chama.

Simba sasa inacheza kitimu, teamwork.Akitoka Lakred anaingia Salim, akitoka Kijiri anaingia Kapombe, akitoka Valentine anaingia Tshabalala, akitoka Che Malone anaingia Kazi, akitoka Chamou anaingia Hamza, akitoka Okajepha anaingia Kagoma, akitoka Mutale yuko Kibbu, akitoka Debora anaingia Mavambo, akitoka Mukwala anaingia Funga Funga, timu limesheheni watu wa atari.

Laiti kama tutakuwa wamoja na kuweka maslahi ya timu mbele, yoyote akae mbele.
Huu uchawa ndio unafanya watu wanataka kutokwa na roho timu ikifungwa na timu ndogo.

Bado huu ni muda mfupi sana kwa kikosi kujengeka,tusiwe na matumaini makubwa jata kidogo
 
SASAAA SASAAA AAA YA KWENDA KWETUU KWAHERI MWL KWAHERII TUTAONANAAAA KESHOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Acha tusubiri mkuu.



Tunahitaji wachezaji imara kwa manufaa mapana kabisa ya club.
 
Yaani taarifa nilizozipata wakati Mwandishi wa Azam anasimulia leo kiukweli kusubiria Simba day ni mbali na parefu sana.

Vijana japo wana siku ya 4 lakin wanatandika pasi sio kawaida, timu haimtegemei mtu mmoja kama wale wehu wanaomshangilia kilema Chama.

Simba sasa inacheza kitimu, teamwork.Akitoka Lakred anaingia Salim, akitoka Kijiri anaingia Kapombe, akitoka Valentine anaingia Tshabalala, akitoka Che Malone anaingia Kazi, akitoka Chamou anaingia Hamza, akitoka Okajepha anaingia Kagoma, akitoka Mutale yuko Kibbu, akitoka Debora anaingia Mavambo, akitoka Mukwala anaingia Funga Funga, timu limesheheni watu wa atari.

Laiti kama tutakuwa wamoja na kuweka maslahi ya timu mbele, yoyote akae mbele.
Umesajili wachezaji wapya karibia 16, Leo timu aina ata siku 10 kambini mshaanza kubwata kuwa timu INACHEZA kitimu🤔🤔🤔🤔
Mnadhani mpira ni Kama ugali unasonga na kuiva na kula hapo hapo, muache midomo vinginevyo mtakuja kuanza kumwambia mangungu awaachie timu wakati akili zenu ndio zimedumaa!
 
Yaani taarifa nilizozipata wakati Mwandishi wa Azam anasimulia leo kiukweli kusubiria Simba day ni mbali na parefu sana.

Vijana japo wana siku ya 4 lakin wanatandika pasi sio kawaida, timu haimtegemei mtu mmoja kama wale wehu wanaomshangilia kilema Chama.

Simba sasa inacheza kitimu, teamwork.Akitoka Lakred anaingia Salim, akitoka Kijiri anaingia Kapombe, akitoka Valentine anaingia Tshabalala, akitoka Che Malone anaingia Kazi, akitoka Chamou anaingia Hamza, akitoka Okajepha anaingia Kagoma, akitoka Mutale yuko Kibbu, akitoka Debora anaingia Mavambo, akitoka Mukwala anaingia Funga Funga, timu limesheheni watu wa atari.

Laiti kama tutakuwa wamoja na kuweka maslahi ya timu mbele, yoyote akae mbele.
Umbumbumbu ni mzigo
 
Yaani taarifa nilizozipata wakati Mwandishi wa Azam anasimulia leo kiukweli kusubiria Simba day ni mbali na parefu sana.

Vijana japo wana siku ya 4 lakin wanatandika pasi sio kawaida, timu haimtegemei mtu mmoja kama wale wehu wanaomshangilia kilema Chama.

Simba sasa inacheza kitimu, teamwork.Akitoka Lakred anaingia Salim, akitoka Kijiri anaingia Kapombe, akitoka Valentine anaingia Tshabalala, akitoka Che Malone anaingia Kazi, akitoka Chamou anaingia Hamza, akitoka Okajepha anaingia Kagoma, akitoka Mutale yuko Kibbu, akitoka Debora anaingia Mavambo, akitoka Mukwala anaingia Funga Funga, timu limesheheni watu wa atari.

Laiti kama tutakuwa wamoja na kuweka maslahi ya timu mbele, yoyote akae mbele.
Ujingaaaa mzigooo.....siku 4 hata mpira hawafikia kucheza ....toa upuuziii wako
 
Yaani taarifa nilizozipata wakati Mwandishi wa Azam anasimulia leo kiukweli kusubiria Simba day ni mbali na parefu sana.

Vijana japo wana siku ya 4 lakin wanatandika pasi sio kawaida, timu haimtegemei mtu mmoja kama wale wehu wanaomshangilia kilema Chama.

Simba sasa inacheza kitimu, teamwork.Akitoka Lakred anaingia Salim, akitoka Kijiri anaingia Kapombe, akitoka Valentine anaingia Tshabalala, akitoka Che Malone anaingia Kazi, akitoka Chamou anaingia Hamza, akitoka Okajepha anaingia Kagoma, akitoka Mutale yuko Kibbu, akitoka Debora anaingia Mavambo, akitoka Mukwala anaingia Funga Funga, timu limesheheni watu wa atari.

Laiti kama tutakuwa wamoja na kuweka maslahi ya timu mbele, yoyote akae mbele.
Wamecheza na timu gani?
 
Back
Top Bottom