Misri yakumbwa na mafuriko makubwa baada ya mvua kunyesha kwa siku 2 mfululizo

Misri yakumbwa na mafuriko makubwa baada ya mvua kunyesha kwa siku 2 mfululizo

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Watu Kumi wamekufa na wengine kadhaa hawajulikani walipo, baada ya mafuriko makubwa kuikumba nchi ya Misri hasa katika mji wa Alexandria.

Mamia ya watu wamelazimika kubaki katika nyumba zao na kushindwa kwenda kazini, baada ya mitaa mingi ya mji huo kujaa maji na kushindwa kupitika.

Mafuriko hayo pia yameukumba mji mkuu wa Misri, – Cairo.

===========

At least 11 people have been killed, including four children, as floods hit Egypt on Tuesday and Wednesday.

Three people, including two children, died in Sharqia, Gharbia and Kafr El-Sheikh in the Nile Delta after being electrocuted.

A woman in her thirties and a tuk-tuk driver in his fifties died in Al-Gharbia governorate after they fell from the roofs of their houses trying to get rid of rain water.

Hanin Ali Mohammed Hussein, 18, died in a similar manner in Dakahlia governorate.

The moment when a nine-year-girl, Marwa Sadeq, was pulled out of the water in northern Sharqia Province was caught on video. Marwa was electrocuted after holding onto an electricity pole on her way home from school, trying to stop herself being swept away in the floods.
 
majangwani kunanyesha mvua siku hizi! maajabu kweli kweli.
 
Back
Top Bottom