Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Rasmi nchi ya Misri imepatiwa cheti cha kutokuwepo kwa malaria katika nchi hiyo na Shirika la Afya Duniani (WHO) ambapo shirika hilo liliita mafanikio haya ya kihistoria.
Soma pia:
"Malaria ni ugonjwa wa zamani sana kama Wamisri wenyewe" alisema mkurugenzi wa WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, katika taarifa yake ya siku ya Jumapili. "Cheti hiki cha Misri kama nchi isiyo na malaria ni cha kihistoria kweli, na ni ushahidi wa namna watu walivyojitolea katika kutokomeza ugonjwa huu wa kale."
Kwa kiwango cha kimataifa, nchi 44 zimepatiwa cheti cha kutokomezwa kwa Malaria.
Cheti hicho cha kutokomeza Malaria hutolewa na WHO kigezo kikiwa kuokomezwa kwa mambukizi yoyote kote kwa angalau miaka mitatu mfululizo iliyopita.
Source: Aljazeera
Soma pia:
"Malaria ni ugonjwa wa zamani sana kama Wamisri wenyewe" alisema mkurugenzi wa WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, katika taarifa yake ya siku ya Jumapili. "Cheti hiki cha Misri kama nchi isiyo na malaria ni cha kihistoria kweli, na ni ushahidi wa namna watu walivyojitolea katika kutokomeza ugonjwa huu wa kale."
Kwa kiwango cha kimataifa, nchi 44 zimepatiwa cheti cha kutokomezwa kwa Malaria.
Cheti hicho cha kutokomeza Malaria hutolewa na WHO kigezo kikiwa kuokomezwa kwa mambukizi yoyote kote kwa angalau miaka mitatu mfululizo iliyopita.
Source: Aljazeera