Miss Botswana mwenye umri wa miaka 26 ateuliwa kuwa Waziri wa Vijana

Miss Botswana mwenye umri wa miaka 26 ateuliwa kuwa Waziri wa Vijana

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Huko Botswana inaonekana vijana wamezidi kupewa nafasi kwenye masuala ya uongozi.

Lesego Chombo, aliyewahi kuwa Miss Botswana, ameteuliwa kuwa Waziri mpya wa Masuala ya Jinsia na Vijana nchini Botswana.

Lesego .png

Soma pia: Doto Mashaka Biteko: Kutoka Ualimu, Ubunge atakuja kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kijana

Chombo, ambaye sasa ndiye Waziri mwenye umri mdogo zaidi katika baraza la mawaziri la Duma Boko, amesema kuwa anajivunia nafasi hii na anapanga kujitolea kwa dhati katika kuimarisha ustawi wa vijana na kuboresha usawa wa kijinsia nchini.

Uteuzi wake ulifanyika Novemba 11, 2024, na unachukuliwa kama hatua kubwa kwa vijana nchini Botswana kupata uwakilishi katika ngazi za juu za uongozi.
 
Wakuu,

Huko Botswana inaonekana vijana wamezidi kupewa nafasi kwenye masuala ya uongozi.

Lesego Chombo, aliyewahi kuwa Miss Botswana, ameteuliwa kuwa Waziri mpya wa Masuala ya Jinsia na Vijana nchini Botswana.

Soma pia: Doto Mashaka Biteko: Kutoka Ualimu, Ubunge atakuja kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kijana

Chombo, ambaye sasa ndiye Waziri mwenye umri mdogo zaidi katika baraza la mawaziri la Duma Boko, amesema kuwa anajivunia nafasi hii na anapanga kujitolea kwa dhati katika kuimarisha ustawi wa vijana na kuboresha usawa wa kijinsia nchini.

Uteuzi wake ulifanyika Novemba 11, 2024, na unachukuliwa kama hatua kubwa kwa vijana nchini Botswana kupata uwakilishi katika ngazi za juu za uongozi.
Tanzania tuna Naibu Waziri wa Tamisemi mwenye umri equals to na huo
 
Sipendelei kigezo cha umri kutumika katika uteuzi bali ufanisi. Je, ataweza kuyamudu majukumu hayo ipasavyo?

Kama anaweza ni vyema.
 
Ujana au uwezo? Msiangalie umri, dini, rangi, au uzuri jamani. Mtasababisha tuendelee kudumaa
 
Sipendelei kigezo cha umri kutumika katika uteuzi bali ufanisi. Je, ataweza kuyamudu majukumu hayo ipasavyo?

Kama anaweza ni vyema.
Wanawake hampeñdani, angekuwa mwanaume ungempa kongole.
 
Same bullshit as always huyo bishoo wa Botswana mnyoa kiduku na kupiga wayback hana jipya atalofanya wenzake hawakufanya. Nilidhani atajifunza kwa Magufuli na marais wengine waliowapa vijana nafasi za uongozi na vijana hawa wakaunder perform beyond imagination.

Viongozi wapya wanatakiwa waelewe ni nini hasa shida ya wananchi wao na kuzifanyia kazi.

Vijana wanataka ajira na maisha bora sio kuwateulia mlimbwende huyo ambaye atakuwa anaendeshwa na magari ya garama na kula kodi za wananchi na mwishowe hakuna kitu vijana watanufaika kupitia yeye.

Kwann asipunguze matumizi ya serikali na kuanzisha viwanda na kutoa mikopo kwa wakulima vijana wakajikwamue huko shambani.

Botswana wamebadili mvinyo ila chupa ni ileile its just a matter of time!
 
Wakuu,

Huko Botswana inaonekana vijana wamezidi kupewa nafasi kwenye masuala ya uongozi.

Lesego Chombo, aliyewahi kuwa Miss Botswana, ameteuliwa kuwa Waziri mpya wa Masuala ya Jinsia na Vijana nchini Botswana.


Soma pia: Doto Mashaka Biteko: Kutoka Ualimu, Ubunge atakuja kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kijana

Chombo, ambaye sasa ndiye Waziri mwenye umri mdogo zaidi katika baraza la mawaziri la Duma Boko, amesema kuwa anajivunia nafasi hii na anapanga kujitolea kwa dhati katika kuimarisha ustawi wa vijana na kuboresha usawa wa kijinsia nchini.

Uteuzi wake ulifanyika Novemba 11, 2024, na unachukuliwa kama hatua kubwa kwa vijana nchini Botswana kupata uwakilishi katika ngazi za juu za uongozi.
Ooh no, aikona!
 
Kama anamudu hiyo nafasi apewe,uongozi siyo umri mkubwa tuu.
 
Una
Same bullshit as always huyo bishoo wa Botswana mnyoa kiduku na kupiga wayback hana jipya atalofanya wenzake hawakufanya. Nilidhani atajifunza kwa Magufuli na marais wengine waliowapa vijana nafasi za uongozi na vijana hawa wakaunder perform beyond imagination.

Viongozi wapya wanatakiwa waelewe ni nini hasa shida ya wananchi wao na kuzifanyia kazi.

Vijana wanataka ajira na maisha bora sio kuwateulia mlimbwende huyo ambaye atakuwa anaendeshwa na magari ya garama na kula kodi za wananchi na mwishowe hakuna kitu vijana watanufaika kupitia yeye.

Kwann asipunguze matumizi ya serikali na kuanzisha viwanda na kutoa mikopo kwa wakulima vijana wakajikwamue huko shambani.

Botswana wamebadili mvinyo ila chupa ni ileile its just a matter of time!
Hoja
 
Back
Top Bottom