alafu wewe huwa nakufananisha sana ujue.
Kweli yaani kwa sala yako nimekukubali.
Mamndenyi asante kwa kunitabiria mema,.. mimi nipo sana jukwaani labda tunapishana muda tu.. sina hata wa kunifunga nae ndoa kwa sasa nasubiria niambiwe lakini naona kimya mpaka sasa... ila kwa kuwa leo mmenitabiria mema loh mwaka 2016 hii ndoto ndo nitatimiza .... Mungu nipe mume atakeyenipenda na kunijali ana awe anajua kutafuta hela amina...
CC:mwallu,Honey Faith Munkari
mshana jr ,Dublin,Mwanyasi usijali mda ukifika panga lako lipo, janeth1,Mtoto halali na hela, charminglady.
wakati ukifika member wa jf hasa kule kamati kuu mtajua tu sitafanya siri,
mungu akupe kweli mme unaemuitaj.
kumbe ni ndugu ndomana mwafanana.
twafanana ki namna gani?
Utajuaje kama ndiyo wewe sasa;
Usiumie bado endelea kusugua magoti, Bwana atajibu maombi yako.
amu ameadimika
Ni kama naye alikuwa kwenye bunge la katiba.
Nimetoka kwa bunge la katiba now nipo kwenye bajeti.
Baada ya hapa bunge la kawaida yaani may be October ndo ntakuwa free.
Mwee huyu miss chagga inabidi aache ukorofi kuna siku nlimkuta anamdunda njemba humu mpaka nikashangaa.
Afu sijui kale katabia chake ameshakiacha
Katabia kapi tena? Ukiona nampiga njemba humu ujue anajifanya kuijua hela kuliko mimi..
Katabia kapi tena? Ukiona nampiga njemba humu ujue anajifanya kuijua hela kuliko mimi..
Ile ya kuchuna afu kwenye kulipa unawapeleka police.
I still remember that thread