Miss East Africa Schengen 2009

Wakuu najaribu kuweka hizi picha kwa njia ya kawaida zagoma,kama vp naomba msaada wa kuziweka zionekane,link zipo hapo juu...More pix to come
 
aisee....hii shori mpwa bala ni hook mkuu.....niwe nachat nae kwa barua pepe

Hiyo kituni balaa aisee,binti analipa kwa sana.....Ngoja nikutafutie contacts zake aisee
 
Tehe tehe...Mwana kweli umekufa kwa kabinti haka
mabinti kama hao wanahitaji mtu makini mwenye tabia njema kama mie nimpe ushauri......majitu kama Nyani Ngabu wakianza misele yao wataharibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…