Miss Kagera mwaka 1999, Bridgitte Buyuya afariki dunia. Azikwa makaburi ya Bunena, Bukoba

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Miss Kagera mwaka 1999, Miss Bridgitte Buyuya alifariki dunia siku ya tarehe 26/05/2017 na kuzikwa siku ya leo tarehe 30/05/2017 katika makaburi ya Bunena, Manispaa ya Bukoba.

Marehemu alizaliwa tarehe 09/06 1978

 
R.I.P, pigo kibwa, wageni tumepoteza mwenyeji wetu
 
Sijui kwanini siku hizi makaburi yamekua na vimo vifupi sana kuliko zamani,sijui ni upungufu wa nguvu za mwili unaosababishwa na sababu mbalimbali,mi sijui,ok! R.I.P.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Sijui kwanini siku hizi makaburi yamekua na vimo vifupi sana kuliko zamani,sijui ni upungufu wa nguvu za mwili unaosababishwa na sababu mbalimbali,mi sijui,ok! R.I.P.
Vija wamekuwa mdebwedo sababu ya kula chips hawezi kutoboa miamba tena..
 
Sijui kwanini siku hizi makaburi yamekua na vimo vifupi sana kuliko zamani,sijui ni upungufu wa nguvu za mwili unaosababishwa na sababu mbalimbali,mi sijui,ok! R.I.P.

Ukiona kina sio kifupi basi jua hakuwa mchawi huyo. Siku ukiona kina kirefu utakuwa unajua nini maana yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…