Miss Kagera mwaka 1999, Bridgitte Buyuya afariki dunia. Azikwa makaburi ya Bunena, Bukoba

Ukiona kina sio kifupi basi jua hakuwa mchawi huyo. Siku ukiona kina kirefu utakuwa unajua nini maana yake.
Nadhani tatizo ni ulaini wa baadhi yetu sisi vijana,marehemu anazikwa kwenye kina kifupi,halafu baada ya siku kadhaa unakuta kaburi lomefukuliwa kiasi,watu wanaanza kuhusianisha na ushirikina kumbe siyo bali ni ufupi wa kaburi ambao unapelekea hadi harufu ya mwili wa marehemu itoke nje na wanyama kama mbwa kujaribu kufukua ili kuona kuna nini,mimi naona utaratibu wa uchimbaji irudi uleule wa kipindi cha nyuma.
 

Hivi hii inakuwaje Marehemu Shose Fidelis yule Mwanadada Shabiki wa Simba SC aliyefariki katika ajali ya Gari na Yeye alizaliwa mwezi May na kafariki mwezi May na huyu nae naona hapo juu kuwa alizaliwa mwezi June na kafariki mwezi June. Hivi hapa huwa hakuna Maajabu fulani labda ya Kitamaduni kama siyo hata ya Kisayansi?
 
hili kaburi lipo juu sana halafu wamejengea siku mbili tau hapo patapitika kweli?
 
hili kaburi lipo juu sana halafu wamejengea siku mbili tau hapo patapitika kweli?
Hali haitakua nzuri kwa wapitanjia na majirani kwa ujumla,kwakweli mimi huwa sifurahishwi na aina hii ya makaburi ambayo vina vyake ni vifupi,kama imegundulika kua vijana wa sasa ni midebwedo basi tuanze kukodi wachimba makaburi watakaochimba kwa urefu wa matakwa yetu nasiyo kama inavyofanywa sasa,i strongly disagree.
 
wataanza kusema ni ushirikina
 
wataanza kusema ni ushirikina
Ndo itakavyokua.. na waandishi wa habari wa baadhi ya vyombo vya habari wanaremba vichwa vya habari kua 'ushirikina wafanyika kwenye kaburi la miss",na ndani ya hiyo habari wanadadafua ushirikina nakuacha makosa dhahiri kabisa yanayofanywa na wanaositiri miili.
 
Soma vizuri wewe mrundi, huyu kafariki May.
 

Kwani walitakiwa wafe mwezi gani?..hebu tusaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…