Tangia Basilla Mwanukuzi alichukue hilo shindano na kuwapiga majungu kina Hashim Ludenga na kundi lake eti ni wasengerema ndo linamfia sasa.
Mimi aliniuzi kipindi kile anaanza maneno ya shombo shombo na kunyanyua midomo kama anasunya kwenye press nikajua huyu ni kichwa maji hajui alitendalo. Yaani shindano linatoka kwenye zawadi za magari na mapesa kisha tunakuja kwenye boda boda.
Yaani miss tz ishajifia kabisa sasa maana hakuna mtu atakaye kuja kuwekeza hapo wale kulisponsa hilo shindano mpaka huyu atoke hapo ana gundu.