Madhabahu na altare zinakutazama wewe! ShaurioOna sasa kameongezeka kengine kakusahau...
Ongeza sadaka tuombee na hilo basi
Kama ni kwa jema nilikushauri yesHivi ulishanishauri eeeh?
Kwani Daby mambo yakutishana tena yametoka wapi sahizi?Madhabahu na altare zinakutazama wewe! Shaurio
Mmh.....Kama ni kwa jema nilikushauri yes
Ila kinyume na hapo hakua mimi huyo
Yawezekana we ndo umesahau mana kwakuchanganya madesa nawe hujambo.Mmh.....
Yaani wewe ndiye unahitaji maombi ya gwajima kabisaa...mchana umesahau
Naomba nikuambukize mengine basi kama kusahau hautakiYawezekana we ndo umesahau mana kwakuchanganya madesa nawe hujambo.
Usijeniambukiza tu
Labda uniambukize hela tu...Naomba nikuambukize mengine basi kama kusahau hautaki
Kama housegirl,kaamua kujiburudisha.
Aje nalo wapi sasa?
Hahaha mambo gani Vale. .file lako kuna vipengele havikuhakikiwa.... natakiwa nilipitie upya.Aje nalo wapi sasa?
We Daby umeanza lini hayo mambo?
Vipengele kama vipi Daby?Hahaha mambo gani Vale. .file lako kuna vipengele havikuhakikiwa.... natakiwa nilipitie upya.
Wewe ukija wizauti vipengele utaelekezwa.Vipengele kama vipi Daby?
Afu uyo mzee uliemwita ana kitengo gani?
Aah nyie msikute ndo wale watekaji mnaotafutwa!Wewe ukija wizauti vipengele utaelekezwa.
Mimi HR yeye CEO.
Watekaji wa mioyo lakini.Aah nyie msikute ndo wale watekaji mnaotafutwa!
Unantisha Daby
Mmh tena nyie wamioyo ndo hamfwai kabisa...Watekaji wa mioyo lakini.
Wanatafutwa wap jamani?