Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Au labda alimaanisha amenza kusex akiwa na miaka 18

Sex as ukimaanisha kuanza kuliwa ndogo au mbona hata kama ni hiyo itakuwa walimuanza mapema kabla ya umri wake maana nasikia nae wamo kichizi kabla hata hajaukwaa huu umaarufu wa sasa
 
Kweli?? Hivi kuna mtu anaweza kudanganya kwa kiwango hiki na watu wakakubali na ku-puplish kabisa uongo huo? Kweli watanzania aliyeturoga alikufa yan kuchakachua ndo dini yetu
Dear Khantwe, kuna mtu amechakachua akaunti yako! Siamini wewe waweza kuandika hili neno nililobold halafu ukaridhika nalo kisha ukapost JF.
 
Last edited by a moderator:
Sex as ukimaanisha kuanza kuliwa ndogo au mbona hata kama ni hiyo itakuwa walimuanza mapema kabla ya umri wake maana nasikia nae wamo kichizi kabla hata hajaukwaa huu umaarufu wa sasa

Basi labda upande wa pili 0714
 
Eti naambiwa hapa kuwa hata kabla ya MASHINDANO MSHINDI ALISHAJULIKANA KUWA NI HUYU BIBI

Baba yake huyu mtoto,anko Lunde wote watoto wa mjini na tena wote Yanga Family. Bado tu hamjapata jibu tu.Mtoto yeyote wa kiongozi au mwenye nasaba za Yanga akigombea umiss Tanzania anashinda.Rejea kwa mtoto wa Mpangala. Uncle Lunde tunataka chenji zetu, hii chuzi umeliongeza maji kupita kiasi.
 

Miss kakomaa huyo...shavu lishaanza kuchuma kunde, kono nenee....!
 
Kuna timu ya mpira wa miguu ya WATOTO WA MITAANI ilienda South Africa wakubwa walichakachua wakaenda wanao kwenda kucheza huko bondeni. Kwenye u miss tena washindwe kuchakachua.
 
Sio lazima usome primary school miaka 7 unaweza soma hata 4 tu, na sio lazima usome o level miaka 4 unaweza soma hata 2 tu, na sio lazima usome advance miaka 2 hata miezi 6 inawezekana, inategemeana tu na IQ yako na uwezo wako kifedha na mtaala unaotumika sehem ulipo
 
Hapana. Labda alirushwa darasa. Alikuwa na akili saaaana. Hakusoma darasa la 4,5,6 na 7. Pia hakusoma miaka 4 bali 3 aliruka form 1 kwa sababu ya akili zake. Msione wiiiiivu. Intel
 
"kila siku kuna kituko kipya kinazuka Afrika" aliyesema hivyo hakukosea.
 
Mbona simpo karuka vidato kutokana na iq yake kubwa.miaka 4 badla7 .2bdla ya 4.neva suprise
 
Mwaka juzi Kunguru alinyanyua ng'ombe huko sumbawanga Tanzania! kwa hili mi hata sishangai NAJIVUNIA KUWA MTZ
 
KALI YA MWAKA KUHUSU MISS TANZANIA 2O14





Miss Tz 2014 ana miaka 18... Ana Masters!!!!
Piga hesabu:
Miaka 7-Primary
Miaka 4-O level
Miaka 2-A level
Mwaka 1-Masters

Miaka 3-1st Degree
Kwa hiyo alianza shule akiwa na mwaka 1...


Hivi kuna miss Mzee ? maana kinachoendela huko miss Tanzania ni kiucheza kiduku tu na ndo maana tunashika umwisho mwsiho tukienda miss world. kisa uchakachuaji.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…