mzalendo91
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 430
- 138
kuna kurushwa madarasa ww. Labda ni jiniaz
Au labda alimaanisha amenza kusex akiwa na miaka 18
Dear Khantwe, kuna mtu amechakachua akaunti yako! Siamini wewe waweza kuandika hili neno nililobold halafu ukaridhika nalo kisha ukapost JF.Kweli?? Hivi kuna mtu anaweza kudanganya kwa kiwango hiki na watu wakakubali na ku-puplish kabisa uongo huo? Kweli watanzania aliyeturoga alikufa yan kuchakachua ndo dini yetu
Huyu naye ni muigizaji wa filamu mtalajiwa.ivi wazazi wanao ruhusu huu upuUzi kichwan kuko njema kweli?
Sex as ukimaanisha kuanza kuliwa ndogo au mbona hata kama ni hiyo itakuwa walimuanza mapema kabla ya umri wake maana nasikia nae wamo kichizi kabla hata hajaukwaa huu umaarufu wa sasa
yaan kwenye umiss waliojitahidi ukubwa walisema wana miaka 23 wenginr 18,19,20,22,,basiii
Kwan ni mtoto wa mtemvu mbunge?
Eti naambiwa hapa kuwa hata kabla ya MASHINDANO MSHINDI ALISHAJULIKANA KUWA NI HUYU BIBI
Baba yake huyu mtoto,anko Lunde wote watoto wa mjini na tena wote Yanga Family. Bado tu hamjapata jibu tu.Mtoto yeyote wa kiongozi au mwenye nasaba za Yanga akigombea umiss Tanzania anashinda.Rejea kwa mtoto wa Mpangala. Uncle Lunde tunataka chenji zetu, hii chuzi umeliongeza maji kupita kiasi.
Miss kakomaa huyo...shavu lishaanza kuchuma kunde, kono nenee....!
hao miaka 23 kiuhalisia wana 35
KALI YA MWAKA KUHUSU MISS TANZANIA 2O14
Miss Tz 2014 ana miaka 18... Ana Masters!!!!Piga hesabu:Miaka 7-PrimaryMiaka 4-O levelMiaka 2-A levelMwaka 1-Masters
Miaka 3-1st Degree
Kwa hiyo alianza shule akiwa na mwaka 1...