Kama mimi?She is cute and pretty!
Make up imemfanya awe mbaya. Na hayo manywele piaonly that?
Hayo manywele hata mi nimeona kituko tu kwa kweliMake up imemfanya awe mbaya. Na hayo manywele pia
Jinsi unavyovaa ndio jinsi picha inatoka. Ukivaa kizee utatoka hivyo hivyoTumeanza kubaguana maeneo, kuwa wadada wazuri wanatoka sehemu Fulani na ndio wanastahili kuwa mamiss, kwangu hapana.
Huyo dada Mimi naamini ni umri wake halisi kabisa.
Kuna watu wakipiga picha wanaonekana ni wakubwa kuliko uhalisia.
labda mvuto ni nini? mimi mbona naona anao mvuto? au vigezo vya mvuto ni nini?Wamechemka. Hata mie kibonge navutia kumshinda miss
Uzuri wa mtu uko machoni pa mtu kaka Rutta. Ndo maana wengi humu tumeona kuna namna kwa yeye kuwa miss rukwa ila waandaaji wameona anastahililabda mvuto ni nini? mimi mbona naona anao mvuto? au vigezo vya mvuto ni nini?
Huyo binti ni mzuri sana tuu tena hatari labda watu hawajafurahishwa na make up yake lakini ni mmoja wa mamiss wazuri sana tena atakimbiza miss tanzania...Jinsi unavyovaa ndio jinsi picha inatoka. Ukivaa kizee utatoka hivyo hivyo
Some people jealous her 😛Huyu dada watu wamemuandama sana. Nahisi mpaka anajuta kushiriki hilo shindano. Sidhani mashindano ya umiss kama wana angalia sura peke yake.
Huyo binti ukimuangalia utajua wengi wameshindwa kumuelewa zaidi kutokana na make up aliyofanyiwa..... huyo binti atakuwa kati ya Mamiss watakao ingia top 10 Miss Tanzania mwaka huu....Uzuri wa mtu uko machoni pa mtu kaka Rutta. Ndo maana wengi humu tumeona kuna namna kwa yeye kuwa miss rukwa ila waandaaji wameona anastahili
Make up yake mbaya kiukweli. Ila kama mrembo make up ni jambo la muhimu sana. Na napingana na wewe hapo. Ataishia kwenye zoneHuyo binti ukimuangalia utajua wengi wameshindwa kumuelewa zaidi kutokana na make up aliyofanyiwa..... huyo binti atakuwa kati ya Mamiss watakao ingia top 10 Miss Tanzania mwaka huu....
Sikatai..ni mzuri. Ila kwa make up hiyo tunaomba abaki huko huko rukwa. Muda umefika..wanawake tupunguze make up maana zinatuzeesha tunaonekana kama majini.Huyo binti ni mzuri sana tuu tena hatari labda watu hawajafurahishwa na make up yake lakini ni mmoja wa mamiss wazuri sana tena atakimbiza miss tanzania...
Kwani make up ni something permanent? I mean, make up aliyoitumia akiwa ngazi ya mkoa, ndo hiyo hiyo anatakiwa aitumie zone na kitaifa? Na kama si kitu permanent, huoni akibaki huko huko Rukwa taifa linaweza likapoteza fursa ya kupata mshindani mzuri just tu kwa kuwa alikosea kufanya make up katika level za mwanzo?Sikatai..ni mzuri. Ila kwa make up hiyo tunaomba abaki huko huko rukwa...