Liborio
Member
- Feb 7, 2017
- 69
- 37
Kiufupi niliwamis sana kiasi ya kwamba hata kuelezea siwezi, ila naimani tuliokuwa nao mwaka Jana Mungu awabariki sana.. Pia niseme kwa wale wenzetu ambao tulikuwa nao kwa namna moja au nyingi Mungu aliwapenda Basi wapunguziwe adhabu ya kaburi.. Nawasalimuni wote kwa Imani uliyokuwa nayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app