mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
Sijawah ona Vanesa kapendeza jamani vinguo vyake hovyo hovyo tu
Sasa hapo wanaigiza wangeacha kushika maik tu jaman wakacheza tu
Mambo ya kuongeza CV pasipostahili....
hatutaki french apa...Aende akaongee na kofi olomide uko.....
Me three......
Nipo mkuu, tv yako umepeleka wapi leo??
Me tooooooo
hatutaki french apa...Aende akaongee na kofi olomide uko.....
Wanaibia mashabiki tu kushika maiki kumbe ni play back
Huyu Vanesa hiyo make up wamempakaje sijui!!!??? Halafu hiyo nguo anavyoishikilia isianguke mbona vituko!!
hatutaki french apa...Aende akaongee na kofi olomide uko.....
Wakuu hivi game ya taifa stars na benini wametoka ngapi ngapi.?alafu mwenye matokeo ya liverpool na qpr tafadhari niko mgodini uku sina mawasiliano mazuri..aksanten kwa utangulizi.
Kah huyu miss Sinza hana kigezo chochote eti miss maria stopes mbona majanga
Dimpoz, kivazi kama waiter!
Hapana asante bebito geni