Miss Tanzania 2014 live Star TV

Angepata Marry tusingepumua aiseeee yaan bint anautaka umaarufu huyuuuu duu ajitahidi tu atakua maarufu aimbe mziki

ashapata mana pale mapedeshee washamuona teyari na ye ataanza kuandikwa
 
Mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

Najiskia kichefuchefu kutapika ctapiki mweheeee
 
Hivi ukiambiwa uchague Lugha kati ya kiswahili na kingereza si unatakiwa uchague kati ya hizo mbili ? sasa kuleta Kifaransa Inahusu ?? Mfyuuuu Mashauzi.com , hujafata masharti ukishinda naandamana
n

Na ndo kashinda sasa....kifaransa kimewachengua majaji!!!

Kiukweli ingewezekana hata mi ningekusaidia kuandamana, maana dah yule kapewa tu wala hajashinda!
 
yule alisha fell baada ya kushindwa kufuata maelekezo na kuchanganya na kifaransa. zaidi ya hapo kajibu nje ya swali lakini nashangaa kawa mshindi duh.
 
Akienda miss world hata top 50 hayumo

Hafiki popote huyu kule wana hitaji talent zaidi ya moja mamiss venezuela ataweza miss alikuaga Nancy Sumary tu wengine wasindikizaji tu analia sura chozi lime dunda haya magumashi hayatakaa yaishe
 
yule alisha fell baada ya kushindwa kufuata maelekezo na kuchanganya na kifaransa. zaidi ya hapo kajibu nje ya swali lakini nashangaa kawa mshindi duh.

Hii ndio Bongo Uchakachuaji upo kila Kona kuanzia Kwenye Katiba, sekta na Tasisi mbali mbali, kwenye Soka, michezo yote hadi sasa kwenye Miss , huu Uchakachuaji ndio umeipeleka Tz Kuwa Msindikizaji kila siku kwenye Michuano ya Kimataifa, angalia hata Kiswahili nacho kimeonekana hakifai ! Warembo wote wamejibu maswali kwa Ung'eng'e wakati Lugha Yao ipo ! Tena mshindi kaenda nje ya Lugha aliyochagua kahamia kwenye kifaransa . Nchi hii ni Taifa la wana-uchakachuaji watu wanachakachuana hadi ndani ya familia, hii ndio Bongo hakuna kisichowezekana .
 
Abbas Zubeir Mtemvu Mbunge wa Temeke na Hashim Lundenga ni washikija sanaaaa
Mjomba Lundenga kaamua kumpa umiss mtoto wa swaiba wake
 
n

Na ndo kashinda sasa....kifaransa kimewachengua majaji!!!

Kiukweli ingewezekana hata mi ningekusaidia kuandamana, maana dah yule kapewa tu wala hajashinda!

Mtajuaje kama wamezingatia vigezo na inawezekana hao wengine kuna vigezo wanamiss ambavyo nye hamjui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…