Miss Tanzania 2014 live Star TV

Mr Patel aliyempleka Lundenga mahakamani yumo kweli kwenye miss Tanzania??
 
Mmmhhh wapendwa naomba mtaniadithia kesho mi naenda kulala bhana marangi yao yananifanya nisinzie
 
Bora ITV wangerusha hii shughuli. Hawa startv hamna kitu.
 
HAWA mamis wa mwaka huu wabaya jamani au ndo camera...???!!
 
Mdada wa moro mzuri jamaniiiiii
 
Watu wanakomea kusema miaka 19,18,23 hawavuki hapoo hhhhaaaaa kuna mdada namfahamu namsubiri nione miaka yakee aiseeee maana chuo alifukuzwa kisa umalaya
Aisee nimeona ana miaka 20 hhhhaaaa na sio.kwelii
 
jamani wenye access na star tv mtujuze kinachoendelea nani mc?red carpet kina nani wamependeza please tusaiidieni tusio na access
 
Ni kweli aisee wafupi wanene wengi hawana vigezo wazuri wengi siku hizi hawashiriki miaka michache ukiwa cheki usoni vikongwe

Nashangaa miaka 18 jitu limekongoroka hatari...au ndo effects za kuanza kale kamchezo mapema???
 
Hii miss hata mzuka wa kuangalia haupo mashindano yamepoteza mvuto hayoo,
 
Muda wa kuangalia nyuchi? Anza kuangalia nyuchi ya dada yako kwanza hapo kwenu kabla ya kuwasha hiyo Star TV

Hivi umefikiria nini, mbona jamaa ya watu kaleta tu taarifa kiungwana?...........Dah!
 
Uwiiii,sinza hamna warembo jamani???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…