Miss Tanzania 2014 ndo Miss World ajae

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
Miss Tanzania Sitti Abbas Mtemvu ni msichana mrembo na anayevutia kimapenzi ambayo Tanzania haijapata kuwa nae, kwa kweli ukimuangalia kwa haraka ni msichana mwenye heshima na upeo wa hali ya juu. Homgera sana Dada Sitti kwa ushindi wako wa kishindo. Japo wazushi wanachonga sana wapotezee. Pamoja sana SITTI
 
Kwani mwaka huu kuna Miss Tanzania au Mrs. Lundenga...
 
Mweeeee her to be Miss World 2014?
Open up your mind stop kidding your self right!

Mtu aulizwa swali then anasema sikujiandaa kujibu hili swali what a bad sign so akifika kule akiulizwa swali she will give out the same answer sikujiandaa kujibua hili swali hey you have to wake up stop dreaming she can't be miss world 2014 and if she will,hahahahah itaandikwa kwenye kitabu cha record cha Guinness hahahahaa
 
Hawezi kuwa miss world 2014 mwaka huu ataenda heppness yeye mpaka mwakani sijui atakuwa na miaka mingapi huyu bibi bomba
 

sizan nikweli kuwa eti ni mzur kuzidi x wote? mkuu hapana mwenye picha zakuanzia 2006 up no atuwekee tuone tho wema hata asipomuweka,
 
Ingekua inaruhusiwa kwa watanzania kupiga kura ya ndiyo kumpitisha bibi bomba kwenda miss world nadhan angepata za mashoga zake,ukoo wake na CCm bhaasi!the rest tunaojielewa tungepiga kura ya HAPANA ikifuatiwa na bhooooooouuuu!!
 
Bangi za kugongea jamaniii sio nzuriiii
 
Naona umeamua kujipigia promo mwenyewe.Na hapo mpaka mwakani ndio unaenda kushiriki nahisi wewe ndio utakuwa bibi yao
 
Kwanza wewe bibi,cha pili wewe muongo.Cha tatu ni mtu ambaye utatukana baadaye kama wewe Mtanzania kama ulivyokana mtoto wako, leseni yako pamoja na pasi yako ya kusafiria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…