habari wadau..
gari la mshindi wa diamond karanga ni zuri kuliko miss tanzania .
hii inamaanisha nini?
je diamond karanga ni kubwa kuliko miss tanzania
Ukweli mchungu.....tulia uwaingie wakarekebishe Wasilazimishe kutoa zawadi ya Gari bila kujua Hadhi ya Mashindano wanayoyaandaa zawadi ya Gari la Diamond karanga ni kipimo cha kujitafakarisha...Washaanza kumchokonoa Basila. Wacha waseme mama wakikua wataacha.
Clouds Media wakishadandia kitu lazma kiende mrama sijui wana gundu gani hawa jamaa?Shindano limekosa mwamko na walimbwende nao hawana mvuto kabisa
Tena waandaaji wanasema mpya tatizo waluopiga picha walitumia simu za tecnoKuna mashindano hapa Tz, mshindi amewahi pata gari mpya?
Clouds Media wakishadandia kitu lazma kiende mrama sijui wana gundu gani hawa jamaa?
Mkoa wa kipolisi.Kinondoni tangu lini ikawa mkoa?
Mbona hana manyonyo?
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Aah nyuzi zengine bila picha ni sawa na mkuyenge usio simama