Miss tanzania ajiuza zanzibar baada ya kuachika

was IRENE UWOYA akiwa na mwanamke mmoja wa uchekeshaji jina simjui alikuwa na mamiss wengine lakini walikuwa wameshapatiwa wateja...pembeni yangu alikuwapo yeye..mmmmhhhhhhhhhhhh uncleeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!kazi ipo
 

Mtaani kuna mademu wazuri tu na wala hawaachiki na hawashiriki umiss! Kwanza huyu miss inaelekea mpaka kufika kwenye kinyang'anyiro alishamegwa na mijamaa kibao . Ushauri wangu huyo pedeshee akapime haraka kujua afya yake
 
mi sielewi ina maana mnakataza dada zetu kuja kuuza znz au vipi?mbona huku bara pia dada zenu wapo wengi tu wanatuuzia?
 
mi sielewi ina maana mnakataza dada zetu kuja kuuza znz au vipi?mbona huku bara pia dada zenu wapo wengi tu wanatuuzia?

Mpwa hata mimi hapa napigwa na butwaa. Ngoja nisiwe na comment kama FL1.
 
kazi ipo! sijui hayo ndiyo maendeleo?
 
mi hoi!
 
thanx TB 50/50
 
was IRENE UWOYA akiwa na mwanamke mmoja wa uchekeshaji jina simjui alikuwa na mamiss wengine lakini walikuwa wameshapatiwa wateja...pembeni yangu alikuwapo yeye..mmmmhhhhhhhhhhhh uncleeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!kazi ipo

Hivi huyu mpendwa wetu Uwoya ameolewa ama kajiegesha
now days kila gazeti la udaku ni uwoya bin uwoya
Why?
 
first lady 1
huyu ana kaougonjwa kwetu wanakaita kadudu mtu ama jini mahaba...hili alitoki mpaka maombi na kwenye kukemea unataja jina lake kabisa yapo ya aina 2...anaitaji sana maombi huyu si ndio hao hao waliokimbilia zanzibar kuficha madhambi yao
 
Hivi huyu mpendwa wetu Uwoya ameolewa ama kajiegesha
now days kila gazeti la udaku ni uwoya bin uwoya
Why?

wanawake masupa staa na WAUZA SURA huwa HAWADUMU NDOANI HATA SIKU MOJA!
 
Hakuna superstar bongo wote ni wauza sura tu na malimbukeni ,pia ni malofa tu ndio maana kila kukicha hufanya vituko ili nao wajipatie umaarufu ndio wajipandishe status .Hovyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…