Miss Tanzania Diana Flave alia hajapewa zawadi wala hakuna maandalizi ya Miss world

Huyu miss wa juzi tu ashaanza kulia lia kwenye vyombo vya habari......Anko Lunde mpeni zawadi zake bana hilo gani si mngempa tu siku ile ile au siku ya pili yake
 
miss wa mwaka huu mtoto na mshamba sana, analia badala atafute mapedeshee wamuwezeshe wenzie ndio walikuwa wanafanyaga..ukimtegemea lundenga utalala hapa
 
Kwa uzuri gani alionao mpaka apate hao mapedeshee wa kumuhonga hela kubwa? Personally to be honest she's ugly Miya
 
hivi yale mambo ya rushwa ya ngono kwa judges yalishaishaga!?, unaweza kuta hata papa aligawa pia ili apate ushindi.........
 
ni
sawa na baba yake waziri wa elimu kule nacte kwenye vyeti vya shule yule baba hqbanduki tu.
 
inasikitisha sana kiuno ukate wewe nusu utupu uvae wewe kujichekesha ujichekeshe wewe kimombo ujisemeshe wewe mkesha uukeshe kwa kujikwatua wewe muda uupoteze kwa kukitembeza hadharani kwa watu km unauza sura ufanye wewe ala zawadi waambulie wengine duhhhj

utasikia mpaka akalalwe na kigogo ndo atazipata.
haya mashindano bora yafutwe.
 
Boooongoeeee Bongo Daresalam, utalilialiaaaaaa...bongo daresalaaaam!
 
Hela za maandalizi ya Miss World zitunzwe kwa ajili ya shughuli nyingine tu.

Maana hatoenda kutoa ushindani,bali kushiriki tu.
 
lundenga inabidi atimuliwe miss tanzania...

uncle magu lazima afutilie mbali huu ujinga
Sio atimuliwe anatakiwa kunyongwa kabisa,maana kwenye utapeli wa ngono kapitiliza kabisa kenge huyo
 
Huyo lundenga hana tofauti na ccm
 
miss Tanzania ni kampuni binafsi ya Lundenga. serikali haihusiki.
 
miss tanzania apewe idris sultan akasimamie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…